na braiton joseph (TONY TZ)
Tayari Kinondoni Talent Search imefanikiwa kuwapata vijana iliyo kuwa inawatafuta ambao ndio washindi kutoka katika nyanja tatusa sanaa yaani Mwimbaji, Mchekeshaji na Mchezaji, sehemu zote tatu alichomolewa mshindi mmoja mmoja na kujibebea milioni 5 za kitanzania. Ila tambua kuwa wazo hilo lilitolewa na kusimamiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, DC Paul Makonda, hatimaye vijana wakajitokeza kwa wingi kushiriki, ukapita mchujo mpaka kupatikana wachache ambao wamegusa stage ya fainali.Washindi wa kudance, kuimba na kuchekesha tayari wamepatikana na hapa ninaanza kukusogezea pichaz mwanzo mwisho ilivyokuwa kwenye Fainali hizo, Mgeni Rasimi alikuwa.
Huyo Dada hapo katikati ndiye aliyeibuka na ushindi kwenye kitengo cha Kuimba
Kwenye picha ni mshindi wa Vichekesho
Mwenye koti ndio aliye shinda kwenye kitengo cha uchekeshaji
Huyo jamaa hapo katikati mwenye kofia ndiye akiye ibuka na ushindi kwenye kipengele cha kudance Kinondoni Talent Search
Wakwanza kulia ni Jaji Zembwela, anaye fuata ni Jaji Peter Msechu, anaye fuata Jaji Kajala Masanja,na mwisho ni Msami
Kwnye picha hapo juu ni Mc wa Kinondoni Talent Search maarufu kwa jina la Mpoki wa Zecomedy
Pichani ni Mrisho mpoto maarufu kwa jina la Mjomba
Huyo hapo juu ni mwigizaji maarufu anajulikana kama Bimwenda hapo niwakati akifanyiwa mahojiano na wana habari kwenye Red Carpet
Huyo hapo juu ni mwigizaji maarufu anajulikana kama Irene Uwoya hapo niwakati akifanyiwa mahojiano na wana habari kwenye Red Carpet
Hapa niwakati Mrisho Mpoto akicheza ngoma ya asili kabla ya shindano kuanza
Lemutuz akihojiwa na wanahabari kwenye Red Carpet
No comments:
Post a Comment