Mgombea
wa Nafasi ya Urais Kupitia CHADEMA, Edward Lowassa akikabidhiwa fomu za
Urais na Ofisa wa tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, hii leo alipofika
kwenye Ofisi hizo Jijini Dar es Salaam.
Pilika pilika za uchaguzi nchini Tanzania zimeendelea hukuEdward
Lowassa, ambaye ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama cha Chadema na
kuungwa mkono na umoja wa vyama vya upinzani nchini humo, UKAWA, akifika
ofisi ya Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu ya urais. Lowassa alianadamana
na mgombea mwenza Juma Duni Haji pamoja na viongozi wengine waandamizi
kutoka vyama mbali mbali vya upinzani. Mwandishi wa TONYTZ.BLOG BRAITON JOSEPH
alikuwepo eneo la tukio
Umati wa wafuasi wa Chadema uliofika kwenye Ofisi za Tume ya
Uchaguzi ili Kumsindikiza Mgombea wa Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA,
Uchaguzi ili Kumsindikiza Mgombea wa Nafasi ya Urais kupitia CHADEMA,
Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu nae alikuwepo kumsindikiza Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais kupitia CHADEMA.
No comments:
Post a Comment