Wema Sepetu na Mama Kanumba waangua kilio kwenye uzinduzi ''Foolish age'' ya Lulu

Super Star Wema Sepetu na Mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba... walijikuta wakitokwa na machozi kwa pamoja kwenye uzinduzi wa filamu ya ''Foolish age''
Baada ya Wema kuwasili kwenye ukumbi wa Mlimani City ulipofanyikia uzinduzi huo... muda kidogo Mama kanumba aliamka nakwenda kumsalimia Wema, walikumbatiana huku wakitililikwa na machozi zaidi ya dakika mbili... Wema alichukua pochi yake nakuanza kumtuza Mama Kanumba pesa nyingi sana zisizokuwa na idadi.

No comments:

Post a Comment