Mshindi
wa droo ya 7 ya promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ Bi. Linda
Ndalu (28) akifurahia Bajaji yake mpya yenye thamani ya Tsh 6,700,000
mara baada ya kukabidhiwa katika hafla fupi iliyofanyika Buguruni chama
leo jijini Dar es Salaam.
Mtaalam wa masoko na biashara kutoka Tigo Bw. Gaudens Mushi (kushoto) akimpongeza Bi. Linda Ndalu (28) mjasiriamali, mkazi wa Sinza kwa kujishinda Bajaji katika promosheni ya ‘Miliki Biashara Yako’.
Mtaalam wa masoko na biashara kutoka Tigo Bw. Gaudens Mushi (kushoto) akimpongeza Bi. Linda Ndalu (28) mjasiriamali, mkazi wa Sinza kwa kujishinda Bajaji katika promosheni ya ‘Miliki Biashara Yako’.
Mshindi wa droo ya 7 ya promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ Bi. Rose Lukindo (45) ambaye ni mfanyakazi wa Manispaa wa Ilala akipokea darasa la jinsi ya kutumia Bajaji aliyoshinda kutoka kwa Mtaalam wa Masoko na Biashara Tigo Bw. Gaudens Mushi.
Mfanyakazi wa Manispaa ya Ilala Bi. Rose Lukindo (45) akionyesha ufunguo wa Bajaji mpya alioshinda katika promosheni ya Tigo ‘Miliki Biashara Yako’ mara baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo mapema leo Buguruni Chama, jijini Dar es Salaam.
Mtaalam wa masoko na biashara kutoka Tigo Bw. Gaudens Mushi akimwelekeza mshindi wa promosheni ya ‘Miliki Biashara Yako’ Bw. Dotto Omari (33) kitufe cha kuwashia Bajaji mara baada ya kumkabidhi zawadi hiyo katika hafla iliyofanyika leo Buguruni chama, jijini Dar es Salaam.
Mtalaam
wa Masoko na Biashara kutoka Tigo Bw,. Gaudens Mushi (kushoto)
akimpongeza mshindi wa droo ya 7 katika promosheni ya ‘Miliki Biashara
Yako’ Bw. Abdallah Abdallah (36) mkazi wa Mbezi anayefanya kazi za
ufundi wa magari mara baada ya kumkabidhi Bajaji yake katika hafla
iliyofanyika leo Buguruni chama, jijini Dar es Salaam.
Mshindi
wa droo ya 7 katika promosheni ya ‘Miliki Biashara Yako’ Bw. Abdallah
Abdallah (36) mkazi wa Mbezi anayefanya kazi za ufundi wa magari
akionyeshea ufunguo wa Bajaji aliyoshinda mara baada ya kukabidhiwa na
Mtalaam wa Masoko na Biashara
No comments:
Post a Comment