Mr Blue ameachia wimbo mpya leo
Mr
Blue ambaye mwaka huu ameshatoa ngoma kama “Nipende”, leo mchana
anatarajia kutoa ngoma yake mpya inaitwa Pesa. Mr Blue ambaye pia ni
baba wa mtoto mmoja mara nyingi amekuwa ni mtu wa kutoa wimbo mmoja na
kukaa muda mrefu kidogo kabla hajatoa wimbo
mwingine. Lakini wakati huu imekuwa ni tofauti kidogo kwani si muda
mrefu sana tangu atoe Nipende. Usikose ku-download wimbo huo baadae
kidogo hapahapa.
No comments:
Post a Comment