Mr Blue ameachia wimbo mpya leo
 Mr
 Blue ambaye mwaka huu ameshatoa ngoma kama “Nipende”, leo mchana 
anatarajia kutoa ngoma yake mpya inaitwa Pesa. Mr Blue ambaye pia ni 
baba wa mtoto mmoja mara nyingi amekuwa ni mtu wa kutoa wimbo mmoja na 
kukaa muda mrefu kidogo kabla hajatoa wimbo 
mwingine. Lakini wakati huu imekuwa ni tofauti kidogo kwani si muda 
mrefu sana tangu atoe Nipende. Usikose ku-download wimbo huo  baadae 
kidogo hapahapa.
Mr
 Blue ambaye mwaka huu ameshatoa ngoma kama “Nipende”, leo mchana 
anatarajia kutoa ngoma yake mpya inaitwa Pesa. Mr Blue ambaye pia ni 
baba wa mtoto mmoja mara nyingi amekuwa ni mtu wa kutoa wimbo mmoja na 
kukaa muda mrefu kidogo kabla hajatoa wimbo 
mwingine. Lakini wakati huu imekuwa ni tofauti kidogo kwani si muda 
mrefu sana tangu atoe Nipende. Usikose ku-download wimbo huo  baadae 
kidogo hapahapa.
No comments:
Post a Comment