TAZAMA PICHA 2 MTOTO WA JAY-Z NA BEYONCE ALIVYOKUWA....

Blue Ivy Carter ndilo jina la mtoto huyu wa 
wanyamwezi hawa toka Marekani yanii

nikimaanisha Jay-Z na Beyonce mrembo mwenye kipaji asilia.
Hizi ni baadhi ya picha za Jay-z na mtoto 
wao Ivy akiwa anaonekana akizidi
kukuwa kwenye afya tele licha ya 
siku za nyuma kuusishwa kuwa na 
matatizo ya moyo yaliyopelekea Mtoto 
huyo kutibiwa chini ya Uangalizi
wa Madaktari Bingwa toka Ufaransa zaidi ya watano......

Unajua walikuwa wanalipwaje....?? 
Kaa nami hapa ntakujuyza kwenye makala ndani www.tonytz.blogspot.com



No comments:

Post a Comment