Blue Ivy Carter ndilo jina la mtoto huyu wa
wanyamwezi hawa toka Marekani yanii
nikimaanisha Jay-Z na Beyonce mrembo mwenye kipaji asilia.
Hizi ni baadhi ya picha za Jay-z na mtoto
wao Ivy akiwa anaonekana akizidi
kukuwa kwenye afya tele licha ya
siku za nyuma kuusishwa kuwa na
matatizo ya moyo yaliyopelekea Mtoto
huyo kutibiwa chini ya Uangalizi
wa Madaktari Bingwa toka Ufaransa zaidi ya watano......
Unajua walikuwa wanalipwaje....??
Kaa nami hapa ntakujuyza kwenye makala ndani www.tonytz.blogspot.com |
|
No comments:
Post a Comment