Video na Pichaz za hii Pub aliyoifungua Dudubaya Kinondoni Dar es salaam
Anaitwa Godfrey Tumaini au Dudubaya ambaye alitamba sana na kazi zake
kadhaa akiwa na kundi lake la Dar Skendo likijumuisha watu kama Dogo
Hamidu “Nyandu Tozi” na wengine.
Muda mrefu Dudu Baya alikuwa anafanya shughuli zake Mwanza na hivi karibuni amerudi Dar kwa ajili ya muziki na kazi zake nyingine, ukiachana na muziki Dudu Baya ameanzisha Pub yake inaitwa D n M iliyopo maeneo ya Kinondoni B.
Unaambiwa D n M ni kirefu cha Dudu Baya na Mary, ambapo Mary ndio mpenzi wa sasa wa Dudubaya ambapo kwenye Exclusive Interview na millardayo.com Dudubaya amesema Pub yake inakaribisha watu wote waende ku-enjoy na pia kupiga story za kimaisha sio kulewa tu, kupeana madili na kusaidiana kimawazo.
Muda mrefu Dudu Baya alikuwa anafanya shughuli zake Mwanza na hivi karibuni amerudi Dar kwa ajili ya muziki na kazi zake nyingine, ukiachana na muziki Dudu Baya ameanzisha Pub yake inaitwa D n M iliyopo maeneo ya Kinondoni B.
Unaambiwa D n M ni kirefu cha Dudu Baya na Mary, ambapo Mary ndio mpenzi wa sasa wa Dudubaya ambapo kwenye Exclusive Interview na millardayo.com Dudubaya amesema Pub yake inakaribisha watu wote waende ku-enjoy na pia kupiga story za kimaisha sio kulewa tu, kupeana madili na kusaidiana kimawazo.
No comments:
Post a Comment