 
 producer huyo ambae amepitia katika changamoto mbalimbali za maisha ya mziki na hatimae kumiliki studio yake mpya, inayo julikana kama Touchez sound. mr T-Touch; haikuwa kazi lahisi sana kumiliki studio yangu binafsi japo swala hili lilikuwepo katika mipango yangu mikubwa ya mbeleni, yapo mambo mengi yalikuwa yakijitokeza ya kunikatisha tamaa lakini mimi sikukubali kushindwa. Namshukuru mungu kunisimamia hadi nimefanikiwa kumiliki studio yangu kubwa ambayo nay wamitego hata auze kilakitu hawezi kufungua studio kama hii.
 Mr T-Touch akipiga beat katika studio yake mpya.
         Mr T-Touch akipiga beat katika studio yake mpya. usikubali kupitwa na kitu, kwa chochote tutafute 0684 524265.
 usikubali kupitwa na kitu, kwa chochote tutafute 0684 524265.
No comments:
Post a Comment