Shule
ambazo zimekuwa zimefungwa nchini Sierra Leone tangu mwezi Julai mwaka
uliopita kutokana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola zitafungwa hii
leo jumanne.Shirika la afya duniani WHO limesema kuwa Ebola bado imebaki kuwa janga la kimataifa.
WHO inasema kuwa ugonjwa wa Ebola uliwaua karibu watu 10,600
WHO inasema kuwa ugonjwa wa Ebola uliwaua karibu watu 10,600 katika mataifa hayo ya Magharibi mwa Afrika.
Aidha WHO inasema kuwa jamii ya kimataifa inapaswa kuweka tahadhari kuu dhidi ya mlipuko huu ama mwengine wa Ebola.
No comments:
Post a Comment