MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKIJARIBU KUWAKIMBIA POLISI DARAJANI ZANZIBAR

Mmoja kati ya majambazi waliokamatwa akiwa amelala chini baada ya kujeruhiwa na polisi.
...Jambazi huyo akiwa katika gari la polisi.

Polisi wakiwa katika tukio hilo.
baadhi ya wananchi wa zanzibar katika eneo la dalajani wakishuudia tukio hilo.
Majambazi wamekamatwa Darajani Zanzibar jana baada ya kufyatuliana risasi na polisi wakati wakijaribu kukimbia. Katika tukio hilo wananchi kadhaa walijeruhiwa kwa kugongwa na gari katika harakati za majambazi hayo kukimbia. Polisi imewatia mbaroni majambazi watatu baada ya wananchi kutoa ushirikiano.
pichani na global

No comments:

Post a Comment