Mmoja kati ya majambazi waliokamatwa akiwa amelala chini baada ya kujeruhiwa na polisi.
Majambazi wamekamatwa Darajani Zanzibar jana baada ya kufyatuliana
risasi na polisi wakati wakijaribu kukimbia. Katika tukio hilo wananchi
kadhaa walijeruhiwa kwa kugongwa na gari katika harakati za majambazi hayo
kukimbia. Polisi imewatia mbaroni majambazi watatu baada ya wananchi
kutoa ushirikiano.
pichani na global
No comments:
Post a Comment