
Majambazi wamekamatwa Darajani Zanzibar jana baada ya kufyatuliana risasi na polisi wakati wakijaribu kukimbia. Katika tukio hilo wananchi kadhaa walijeruhiwa kwa kugongwa na gari katika harakati za majambazi hayo kukimbia. Polisi imewatia mbaroni majambazi watatu baada ya wananchi kutoa ushirikiano.
pichani na global
No comments:
Post a Comment