KUTANGAZA BIASHARA NASISI AU KUTUMA VIDEO NA AUDIO 0684 524265
(Photo's) Maandalizi Kilimanjaro Music Tour Kahama
Kilimanjaro Music Tour 2013 weekend hii iko katika mji wa Kahama.
Maandalizi ya mwisho kwa ajili ya tamasha hilo linalohusisha wasanii
waliofanya vizuri mwaka 2012 yameendelea huku wakazi wa Kahama wakiwa na
mwamko wa kushuhudia kutokana na tiketi kununuliwa kwa wingi toka jana.
Wasanii wanaotarajiwa kupanda jukwaani ni Linex, Profesa Jay, Roma, Ben
Pol, Fid. Q, Lady Jaydee, Izzo Bizness, Barnaba na Recho.
The Big Man Kim (DJ Kim) wa East Africa Radio akifanya sound check ya vifaa
vya muziki.
No comments:
Post a Comment