NEWS:NYAMA CHOMA FESTIVAL......HERE WE GO DAR AGAIN...!!

Habari njema tena kwa wakazi wa Dar kwa mara nyingine tena wale
wahandaaji wa Nyama Choma Festival wanakuletea tena
NYAMA CHOMA FESTIVAL 2013
Itakayofanyika Viwanja vya Posta,Kijitonyama.
wa kiingilio cha 7,000/= Tsh utaweza kuzama
 ndani na kufurahia kukutana
na watu tofauti uweze kubadilishana
nao mawazo na kujuana zaidi,Hii
si ya kukosa mkazi wa Dar kuanzia Saa
 4 asubuhi hadi jioni....Ukiona
Habari hii mjuze na mwenzio.....

No comments:

Post a Comment