NEWS:KAMA UNAAMINI BLOG YAKO INAFANYA VIZURI.....BASI HII INAKUHUSU SANA
Vipengele vya Kushiriki na Sheria Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha, vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu. Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu. Jinsi ya kulink 1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa 3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja mfano: Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza tanzanianblogawards.blogspot.com Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe Best Agriculture Best Beauty/Fashion Blog etc etc 4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com 5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki Vipengele Best Agriculture Best Beauty/Fashion Blog Best Business Blog Best Creative Writing Blog Best Design/Graphic Design Blog Best Educational Blog Best Entertainments Best Food Blog Best General Blog Best Inspiration Blog Best Newcomer Blog Best News Blog Best Photography Blog Best Political Blog Best Religion Blog Best Sports Blog Best Technology Blog Best Tots Blog (17 yr old and below) Best Travel Blogs |
No comments:
Post a Comment