Cheki jinsi kundi kubwa la watu likifuata msafara wa Ommy Dimpoz ndani ya Burundi
Ommy
Dimpoz licha ya kukwama kwa muda kidogo kwenye Airport ya Jomo
Kenyatta, hatimaye aliweza kufika nchini Burundi na kufanya show. Baada
ya kufika Burundi, njiani kuelekea kwenye show alifuatwa na kundi kubwa
la watu nyuma na pembeni ya gari lake na yeye akiwapungia mkono. Cheki
hii picha kutoka kwake mwenye Ommy Dimpoz
No comments:
Post a Comment