msanii maarufu tz anayekubalika na watu mbalimbali katika ulimwengu wa mziki wa kizazi kipya diamond platnumz, kwa sasa yuko kikazi na kimasomo afrika ya kusini. nampaka sasa huko afrika kusini, ameanza kushoot video yake mpya ambayo mpaka sasa bado haijafahamika jina la nyimbo yake hiyo.
nakumbuka mala ya mwisho alizungumza nami kwa njia ya simu nilipokuwa nikiandaa kipindichangu
kinacho frusha live katika kituo cha radio nurufm iringa,
Diamond platnumz alisema kuwa yeye anawaonea huluma sana wasanii wa mziki mbali mbali wa tanzania
hasa wasanii wa mziki wakizazi kipya wanaoleta mzaa kwenye game, alisema kuwa yeye alisha anza kufanya mziki wakimataifa au alizamilia kufanya mziki wakimataifa toka mda mrefu lakini sasa anafikili kuwa niwakati wake wakuufanya mziki utakao itambulisha tanzania kutoka na kitu anacho kifanya katika mziki wake. na alimalizia swala kutofanya video za bei rahisi au za ghalama nafuu zaidi pamoja na kufanya show za bei yachini kabisa kwani zinashusha kiwango na heshima ya mziki wakitanzania.>> mwandishi tonytz 0718 922425
No comments:
Post a Comment