TONYTZ.BLOG
Kamanda
wa Polisi mkoa Singida Thobias Sedoyeka amethibitisha kuwa ajali ya
basi T 531 BCE likitokea Dar es salaam kwenda Kahama na T 247 linattoka
Kahama kwenda Dar es salaam yote ya kampuni moja CITY BOYS yamegongana
uso kwa uso na kuuwa abiri abiria wengi papo hapo na kujeruhi wengine.
No comments:
Post a Comment