, nashukuru nyimbo yangu ya simama
kwenyezamu yako imepokelewa vizuri na mashabiki mbalimbali na imechukuwa
nafasi za juu katika vituo mbalimbali vya radio hasahasa plais power radio.
kupitia nyimbo yangu nimesha fanya matamasha mengi ya injiri,na imenikutanisha
na watu wengi wakubwa na maarufu ambao sikutengemea kama ningekutana nao
maishani mwangu.
RUCKSON DANIEL; hivikaribuni nakuja na nyimbo mpya ambayo
itanitangaza kitaifa na kimataifa, ninaimani itafanya vizuri katika vituo
mbalimbali vya radio na tv hadi sehem mbalimbali.lengo langu ni kueneza injili
kwa mataifa kwanjia ya uimbaji wa nyimbo za injiri, Nimejipanga kwakila njia
hadi nimshinde GOODLK GOZBERT. KWAHABARI ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA WWW.TONYTZ.BLOG.
LUCKSON DANIEL NIMESIMAMA KWENYEZAMU HADI NIMSHINDE GOODLUK GOZBERT story na tonytz WWW.TONYTZ.BLOG
No comments:
Post a Comment