LUCKSON DANIEL NIMESIMAMA KWENYEZAM YANGU HADI NIMSHINDE GOODLUK GOZBERT story na tonytz

Mwimbaji wa nyimbo za injiri anayekuja kwakasi sana kwalengo la  kuutangaza mziki  wa injiri tanzaniaLUCKSON DANIEL, amesema kuwa; nimejipanga vizuri kwaajiri ya kuchukuwa nafasi za juu zaidi katika kumwimbia na kumsifu MUNGU hapa tanzania hadi nimshinde GOODLUCK GOZBERT


, nashukuru nyimbo yangu ya simama kwenyezamu yako imepokelewa vizuri na mashabiki mbalimbali na  imechukuwa nafasi za juu katika vituo mbalimbali vya radio hasahasa plais power radio. kupitia nyimbo yangu nimesha fanya matamasha mengi ya injiri,na imenikutanisha na watu wengi wakubwa na maarufu ambao sikutengemea kama ningekutana nao maishani mwangu.

RUCKSON DANIEL; hivikaribuni nakuja na nyimbo mpya ambayo itanitangaza kitaifa na kimataifa, ninaimani itafanya vizuri katika vituo mbalimbali vya radio na tv hadi sehem mbalimbali.lengo langu ni kueneza injili kwa mataifa kwanjia ya uimbaji wa nyimbo za injiri, Nimejipanga kwakila njia hadi nimshinde GOODLK GOZBERT. KWAHABARI ZAIDI ENDELEA KUTEMBELEA WWW.TONYTZ.BLOG.
  LUCKSON DANIEL NIMESIMAMA KWENYEZAMU HADI NIMSHINDE GOODLUK GOZBERT story na tonytz WWW.TONYTZ.BLOG





No comments:

Post a Comment