KUTANGAZA NASI, KUTUMA VIDEO NA AUDIO
0684 524265
“Hela ipo, ingawa sio tena milioni 50,ntakua mwongo nikisema bado ipo milioni 50, lakini zipo siwezi kusema imebakia ngapi, si unaona napendeza nini, nyumba ipo kama nyumba zingine,siwezi kuzungumzia labda vyumba vingapi,ili mradi nitaweka ubavu wangu nitashukuru Mungu”.Alisema Kayumba.
Kayumba (r)akiwa na Rita Paulsen,Mkurugenzi wa Benchmark Production,waandaji wa mashindano ya Bongo Star Search (BSS).
Taarifa imekuja zikiwa ni wiki chache tangu kusambaa kwa tetesi kwenye mitandao ya kijamii kuwa zawadi ya milioni 50 aliyopewa Kayumbaa baada ya kuibuka mshindi kwenye mashindanoi ya Bongo Star Search (B.S.S),kumalizika kuhu ujenzi wa nyumba ya msanii huyo ukiwa bado haujakamilika.
No comments:
Post a Comment