VIDEO: Clouds Media wameingia makubaliano na Azam TV, Ndondo Cup 2016 Live TONYTZ.BLOG/

uTONYTZ.BLOG/Baada ya kufanyika kwa mashindano ya Ndondo Cup kufanyika kwa mafanikio mwaka 2015, good news ni kuwa mashindano hayo yanazidikukuwa siku hadi siku, Clouds Media na Azam Tv wameingia makubaliano ya kurusha matangazo mechi hizo Live, makubaliano hayo yamefanyika na kusainiwa na mkuu wa vipindi wa Clouds FM Shaffih Dauda na mkurugenzi wa Azam Media Ltd Rhys Torrington.

No comments:

Post a Comment