Picha 11: Muonekano wa daraja jipya Kigamboni.

by tony tz1kig7


Daraja la Kigamboni lililozinduliwa mapema leo na Rais John Magufuli  lilianza kutumika tarehe 16 Aprili, 2016 likiwa na  urefu wa mita 680 na barabara unganishi upande wa Kurasini na Kigamboni zenye urefu wa kilomita 2.5.

Ujenzi wake ulifanywa na kampuni ya China Railway 15 Group ikishirikiana na kampuni ya China Bridge Engineering Group.Daraja hilo ndilo la kwanza la kubeba uzito wa barabara kwa kutumia nyaya Afrika Mashariki na la tatu Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara bila kuhesabu Afrika Kusini.
Linamilikiwa na serikali ya Tanzania na Hazina ya Malipo ya Uzeeni (NSSF) kwa 40% na 60% serikali na likiwa mbadala wa vivuko vya Feri-Magogoni.
kigamboni 01


kig4
 

kig7


kig9


kig12

No comments:

Post a Comment