Hatimaye wakala namba moja wa wanasoka bora ulimwenguni, Jorge Mendes
 jana alifunga ndoa na mchumba wake wa siku, Sandra Barbosa.
  Sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa soka ulimwenguni, 
huku Cristiano Ronaldo, mteja mkuu wa Mendes akiwa ‘mpambe rasmi’ wa 
bwana harusi.
Sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa soka ulimwenguni, 
huku Cristiano Ronaldo, mteja mkuu wa Mendes akiwa ‘mpambe rasmi’ wa 
bwana harusi.

Cristiano Ronaldo akiingia kanisani
 
Wageni waalikwa wengine walikuwa ni kocha wa zamani wa Manchester United
 Sir Alex Ferguson, Raisi wa Real Madrid, Florentino Perez, James 
Rodriguez, Jose Bosingwa na Deco De Souza pamoja na Pepe.

Mwanasoka Pepe wa Real Madrid nae alikuwepo
 
 

Mchezaji wa zamani wa Chelsea na Barcelona Deco De Souza
 
  

James Rodriguez wa Real Madrid nae alihudhuria
 
 

Bwana Harusi Jorge Mendes
 
  

Jose Bosingwa – mchezaji wa zamani wa Chelsea
 
  

Rais wa Real Madrid Florentino Perez
 
   
 
No comments:
Post a Comment