Mkali wa vocal kama anavyo jiita Rich Mavoco anaetamba kwa ngoma kibao
mpaka sasa tangu alipo achia
ngoma yake ya Silali mpaka sasa ambapo ana hit song ya Pacha Wangu,amefunguka na Team tz na kusema kwamba pia yeye ni Director wa kimya kimya kwani amesha wahi kuongoza ata baadhi ya video zake.
ngoma yake ya Silali mpaka sasa ambapo ana hit song ya Pacha Wangu,amefunguka na Team tz na kusema kwamba pia yeye ni Director wa kimya kimya kwani amesha wahi kuongoza ata baadhi ya video zake.
Mkali wa vocal kama anavyo jiita Rich Mavoco anaetamba kwa
ngoma kibao mpaka sasa tangu alipo achia ngoma yake ya Silali mpaka sasa
ambapo ana hit song ya Pacha Wangu,amefunguka na Team tz na kusema
kwamba pia yeye ni Director wa kimya kimya kwani amesha wahi kuongoza
ata baadhi ya video zake.
Mavoco aliyasema hayo wakati akiwa Location waki shoot video ya
msanii mwenzake “Darasa” ambapo yeye ameshirikishwa tu kwenye nyimbo
hiyo.Video hiyo ikiwa imesimamiwa na dir Hanscana mabapo na yeye Rich
Mavoco alisshiriki na kuongoza video hiyo.
No comments:
Post a Comment