Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi watu wengine waliojeruhiwa
kwenye ajali hiyo mbali na Bahati Bukuku ni watu wawili na gari
lililopata ajali na kusababisha majeraha
kwa watu hao ni Toyota Nadia yenye namba za usajili IT 7945.
kwa watu hao ni Toyota Nadia yenye namba za usajili IT 7945.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa
Polisi David Misime amesema ajali hiyo imetokea july 25 saa tatu 9:00
alfajiri katika Barabara ya Morogoro – Dodoma eneo la Ranch ya NARCO
wilayani Kongwa.
Uchunguzi wa ajali hiyo nado unaendelea ikiwa ni pamoja na kutafuta gari lililowagonga.
No comments:
Post a Comment