Kundi la muziki la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini linaloundwa na Theo Kgosinkwena Nhlanhla Nciza jana (March 5) limezikonga nyoyo za mashabiki wake jijini Dar es Salaam. Mwimbani wa kundi la Mafikizoro, Theo Kgosinkwe akifanya yake Show hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City ilihudhuriwa na mashabiki mbalimbali na wapenzi wa burudani hali iliyopelekea show hiyo.
MWIMBAJI WA KUNDI LA MAFIKIZORO THEO KGOSINKWE AKIFANYA MAZAMBI YAKE.
DANCERS WA MAFIKIZORO WAKIFANYA YAO JUKWAANI.
WATU WAKIBURUDIKA NA BURUDANI KUTOKA KWA MAFIKIZORO
JOCELYNE MARO NA WAKAZI WAKITAZAMA SHOW YA MAFIKIZORO.
WADAU WA BURUDANI TOKA SEHEMU MBALI MBALI WAKIWA KATIKA FORENI YAKUKATA TIKETI ZA KUINGIA KWENYE SHOW.
WATOTO WAZURI WAKISUBIRI BURUDANI.
WADAU WAKITOKEREZEA KATIKA PICHA
No comments:
Post a Comment