Music Industry ya Tanzania bado iko kwenye “Growing phase” things are
not balanced yet because of Matatizo fulani sugu ambayo mwisho wake
unakuja kutokana na mabadiliko ya Teknolojia na matumizi yake.Kama nchi
nyingine na kama sector zingine za kibiashara tutapitia hizi phases
mpaka vitu vitakaa sawa.Mziki
umekuwa mgumu na ndio unalipa zaidi hii ni
moja ya changamoto na mafanikio yake.Wale ambao wameanza hii safari
siku nyingi,msikate tamaa huu ndio muda wa kujipanga upya na
kucapitalize. Kama we ni mfanya biashara unayependa kuinvest in long
term business,the time is now! Ngoma bado mbichi hii,anza leo
No comments:
Post a Comment