CPWAA (@Cpwaa) anasema kuwa Music Industry ya Tanzania bado iko kwenye “GROWING PHASE” Soma hapa story kamili


Music Industry ya Tanzania bado iko kwenye “Growing phase” things are not balanced yet because of Matatizo fulani sugu ambayo mwisho wake unakuja kutokana na mabadiliko ya Teknolojia na matumizi yake.Kama nchi nyingine na kama sector zingine za kibiashara tutapitia hizi phases mpaka vitu vitakaa sawa.Mziki
umekuwa mgumu na ndio unalipa zaidi hii ni moja ya changamoto na mafanikio yake.Wale ambao wameanza hii safari siku nyingi,msikate tamaa huu ndio muda wa kujipanga upya na kucapitalize. Kama we ni mfanya biashara unayependa kuinvest in long term business,the time is now! Ngoma bado mbichi hii,anza leo

No comments:

Post a Comment