Kwa mara ya kwanza katika historia ya mji wa Kahama na vitongoji vyake,
wakazi wake walipata nafasi ya kuwashuhudia wakali wa muziki zaidi ya 10
katika jukwaa moja katika tamasha la Kilimanjaro Music Tour 2013
lililofanyika katika uwanja wa taiga Kahama na kushuhudiwa na maelfu ya
wakazi wa rika zote waliojitokeza na kuujaza uwanja wote. Wakali hao
Linex, Profesa Jay, Roma, Ben Pol, Fid. Q, Lady Jaydee, Izzo Bizness,
Barnaba na Recho walilishambulia jukwaa kwa masaa sita mfululizo huku
wakati mmoja wakipata nafasi ya kumuimbia Ben Pol wimbo wa Birthday
kutokana na kuadhimisha
linex
recho akiwa jukwaani
ben pol
No comments:
Post a Comment