OMMY DIMPOZ ATUA WASHINGTON DC, KUPIGA SHOO JUMAMOSI


Ommy Dimpoz akiwa na mwenyeji wake DMK katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia mara tu alipowasili kwa ajili ya shoo yake ya Jumamosi Sept 21, 2013 DMV.

Ommy Dimpoz akiwa ndani ya Limo akitokea uwanja wa ndege.
Faraji Nyembo 'Ommy Dimpoz' baada ya kuwasili Marekani jana na kupokelewa na wenyeji wake. Ommy Dimpoz anatarajiwa kufanya shoo ya kwanza Jumamosi ya wiki hii Washington DC, itakayofuatiwa na shoo ya pili Houston Sept 28 na shoo ya tatu Los Angeles Okt 5 kisha atarejea Tanzania kwa ajili ya kuhitimisha Serengeti Fiesta 2013.

No comments:

Post a Comment