NIPO TABORA TIME HII FOR FIESTA 2013-TWENZETU

Choka sana midaa hii,nimewasili mkoani Tabora
mahususi kabisa kwaajili ya Fiesta mkoani
humu hapa nipo na Flowers,Linah Sanga na Mwasiti
Almasi uwanja wa Ndege wa mkoani Humu,
mashabiki wa Tabora basi siku ya kesho midaa ikiwadia
 tusogee uwanja wa Ali hassani Mwinyi uje uoene muziki mzuri
 FIESTA 2013- twenzetu sasa....

No comments:

Post a Comment