HEMED PHD: KUANZIA SASA SITAVAA TENA HERENI KWENYE MOVIE ZANGU.

msanii maarufu tanzania wa mziki wakizazi kipya na mtayalishaji na mchezaji wa movie.
ametangaza huivi karibuni kuacha kuvaa heleni masikioni  katika movie zake.
hemed amesema kuwa  hakuna watu mimi ninao waheshimu kama mashabiki wangu,
wengi walikuwa hawapendezewi na kitu nilicho kuwa nikifa  hasa nilipo pokuwa nikivaa
heren masikioni

hemdy


 kiukwe ilinichukuwa mda mrefu sana mimi  kulifanya jambo hilo kutokana na jambo hili, 
sijakulupuka kulifanya na sijajuta kuliacha coz wapo mashabiki wangu walio kuwa wakipenda ninapo vaa heren na wapo waliokuwa hawapendi kabisa kabisa swala hili, nakuanzia sasa nitatangaza kuwa sitakuwa nikivaa heleni tena kwenye movie zangu japo japo kunawatu wanadai kuwa nitapoteza mauzo. 
je wewe unamaoni gani na jambo hili?????????? 
 

No comments:

Post a Comment