Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam leo Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi NAPE NNAUYE amesema kuwa Mheshimiwa MAGUFULI katika msafara wake kuelekea NEC ataambatana na mgombea mwenza kutoka Zanzibar mheshimiwa SAMIA SULUHU HASSANI.
No comments:
Post a Comment