Yako mengi aliyoyazungumza ambapo pia aliambatana na wakali wengine ambao walikuepo kitambo East Coast kama Ay na Mwana FA lakini pia mtu kama Pauline Zongo na wengine.
Yote aliyoyasema utayapata hapa kupitia video na pia nitaandika kilichosemwa ili kwa wale wasioweza kutazama video wasome… cha muhimu ni kuwa karibu na Millard Ayo facebook, twitter na instagram kwa jina hilohilo ili usipitwe na chochote na huko ndio kutakua kujiunga kwako kuwa mwanachama mtu wangu.
No comments:
Post a Comment